Wasiliana na uongozi Bolt

WASILIANA NA UONGOZI BOLT TANZANIA KWA NJIA ZIFUATAZO

Kama wewe tayari ni dereva uliyesajiliwa kuendesha abiria ni muhimu kufahamu njia hizi unapotaka ku wasiliana na uongozi Bolt ili kupata huduma za ziada. Sababu zinazoweza kusababisha uhitaji wa kuwasiliana na uongozi. 1. KUPATA MAFUNZO YA MADEREVA Kampuni ya Bolt imejikita sana katika kuhakikisha madereva wote wanapata mafunzo maalumu ili kuhakikisha wanatoa huduma kwa ufanisi …

WASILIANA NA UONGOZI BOLT TANZANIA KWA NJIA ZIFUATAZO Read More »