Vigezo vya kusajiliwa uber

mbinu za usalama kwa madereva usiku

MBINU ZA USALAMA KWA MADEREVA WANAOENDESHA USIKU

Kila dereva anayetoa huduma kwenye majukwaa ya usafirishaji anapaswa kufahamu mbinu za usalama wakati wa kuendesha abiria usiku. Madereva waliopo nje ya Tanzania au bara la Afrika mara nyingi hawapo katika hatari sana usiku kulinganisha na madereva wa huku kwasababu nchi zao zina miundombinu mikubwa sana ya usalama. Katika nchi yetu ambayo hata namba ya …

MBINU ZA USALAMA KWA MADEREVA WANAOENDESHA USIKU Read More »

Magari yanayokubaliwa kusajiliwa uber

MAGARI YANAYOKUBALIWA KUSAJILIWA UBER TANZANIA 2022.

Uber ni kampuni inayoongoza katika sekta ya usafiri wa kushiriki yaani ride sharing /ride hailing. Maelfu ya watanzania madereva na wamiliki magari yanayokubaliwa kusajiliwa Uber wamekuwa wakitengeneza kipato kikubwa kwa kutoa huduma ya usafiri kwa abiria wa jukwaa hili. Ingawa fursa hii ni nzuri sana na inafaa kila mtanzania mwenye uwezo aweze kunufaika nayo, inavyo …

MAGARI YANAYOKUBALIWA KUSAJILIWA UBER TANZANIA 2022. Read More »