Uber kusitisha huduma Tanzania

Uber kusitisha huduma

HATUA ZA KUCHUKUA BAADA YA UBER KUSITISHA HUDUMA

Kwanza kabisa ni vizuri kufahamu na kukumbuka kwamba Uber kusitisha huduma Tanzania ni maamuzi ya ghafla tu kutokana na mabadiliko ya ada yaliyopitishwa na LATRA kuanzia Aprili 2022. SOMA: Sababu za Uber kusitisha huduma Tanzania 2022 Kampuni imeshatoa tamko kuwa inaendelea kuwasiliana na wadau ikiwemo uongozi wa LATRA ili kuona kama kuna uwezekano wa kufikia …

HATUA ZA KUCHUKUA BAADA YA UBER KUSITISHA HUDUMA Read More »

Kwanini Uber imesitisha huduma Tanzania

UBER IMESITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KWA SABABU HIZI

Kuanzia tarehe 14 April 2022 kampuni ua Uber imesitisha huduma Tanzania kama ilivyotangazwa na wawakilishi wake. Hili limekuwa jambo la ghafla na ambalo limeathiri kipato cha madereva wengi kwasababu kampuni hii ndio kubwa kuliko kampuni zote za programu za safari Tanzania na dunia nzima. KANUSHO: Weibak Carsharing sio mdau wa kampuni yoyote ya programu za …

UBER IMESITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KWA SABABU HIZI Read More »