UBER IMESITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KWA SABABU HIZI
Kuanzia tarehe 14 April 2022 kampuni ua Uber imesitisha huduma Tanzania kama ilivyotangazwa na wawakilishi wake. Hili limekuwa jambo la ghafla na ambalo limeathiri kipato cha madereva wengi kwasababu kampuni hii ndio kubwa kuliko kampuni zote za programu za safari Tanzania na dunia nzima. KANUSHO: Weibak Carsharing sio mdau wa kampuni yoyote ya programu za …
UBER IMESITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KWA SABABU HIZI Read More »