KANUNI ZA LATRA KWA MAKAMPUNI NA MADEREVA MTANDAONI
Kanuni za LATRA zilizoanza rasmi 16 April 2022 zimeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya programu za safari Tanzania. Watu wengi wamesikia sheria moja tu ya kimo cha kamisheni au ada ya 15% kwa madereva lakini hiyo siyo sheria pekee iliyowekwa. Mamlaka ya udhibiti wa usafri wa nchi kavu LATRA ilianzishwa chini ya kifungu namba 4 …
KANUNI ZA LATRA KWA MAKAMPUNI NA MADEREVA MTANDAONI Read More »