madereva uber wengi wanaapata changamoto

MADEREVA UBER WENGI WANAACHA KAZI KWA SABABU HIZI.

Ukilinganisha na nchi za nje, madereva wengi wa Uber hapa Tanzania huvumulia mengi sana na kuendelea na kazi hata pale matatizo yanapozidi. Ripoti zinaonesha kuwa mwaka 2020 tu kuanzia Januari hadi Aprili Uber ilipoteza 60% ya madereva wake. Hii inawezekana kuwa ilichangiwa na mlipuko wa gonjwa la UVIKO 19 lakini hata kabla ya hapo, tafiti …

MADEREVA UBER WENGI WANAACHA KAZI KWA SABABU HIZI. Read More »