MAKOSA 9 WANAYOFANYA MADEREVA WANAPOKODI MAGARI KWA WAMILIKI
Katika makala iliyopita tumechambua kiundani faida wanazopata madereva kwa kuanza biashara kwenye programu za safari kwa kutumia magari wasiyoyamiliki. Katika mwendelezo huu utaenda kuona makosa wanayoyafanya madereva wanapokodi magari kutoka kwa wamiliki. Kwanza kabisa ni muhimu tukukumbushe kuwa sio madereva wote hufanya haya makosa yote unayoenda kuyaona. Wapo madereva wengi sana ambao ni wazoefu na …
MAKOSA 9 WANAYOFANYA MADEREVA WANAPOKODI MAGARI KWA WAMILIKI Read More »