HATUA ZA KUCHUKUA BAADA YA UBER KUSITISHA HUDUMA
Kwanza kabisa ni vizuri kufahamu na kukumbuka kwamba Uber kusitisha huduma Tanzania ni maamuzi ya ghafla tu kutokana na mabadiliko ya ada yaliyopitishwa na LATRA kuanzia Aprili 2022. SOMA: Sababu za Uber kusitisha huduma Tanzania 2022 Kampuni imeshatoa tamko kuwa inaendelea kuwasiliana na wadau ikiwemo uongozi wa LATRA ili kuona kama kuna uwezekano wa kufikia …
HATUA ZA KUCHUKUA BAADA YA UBER KUSITISHA HUDUMA Read More »