Kila dereva Uber Bolt lazima awe na vifaa hivi

mbinu za usalama kwa madereva usiku

MBINU ZA USALAMA KWA MADEREVA WANAOENDESHA USIKU

Kila dereva anayetoa huduma kwenye majukwaa ya usafirishaji anapaswa kufahamu mbinu za usalama wakati wa kuendesha abiria usiku. Madereva waliopo nje ya Tanzania au bara la Afrika mara nyingi hawapo katika hatari sana usiku kulinganisha na madereva wa huku kwasababu nchi zao zina miundombinu mikubwa sana ya usalama. Katika nchi yetu ambayo hata namba ya …

MBINU ZA USALAMA KWA MADEREVA WANAOENDESHA USIKU Read More »

Kila dereva Uber/ Bolt anahitaji kuwa na vifaa hivi

KILA DEREVA UBER/BOLT LAZIMA AWE NA VIFAA HIVI

Kila dereva Uber/Bolt anapoanza kazi ya kuendesha abiria kwenye majukwaa hayo huambiwa kuwa anahitaji gari, ujuzi na smartphone tu kujisajili. Ingawa hivyo vinaweza kutosha, utakuja kugundua kwamba abiria hawatabiriki. Kwa hiyo ni vizuri sana kuwa tayari kwa jambo lolote linaloweza kutokea wakati wa safari. Katika makala hii utaenda kujionea vifaa muhimu sana ambavyo kila dereva …

KILA DEREVA UBER/BOLT LAZIMA AWE NA VIFAA HIVI Read More »