Jinsi ya kujiunga Uber

kama haupati abiria uber/bolt fanya hivi

KAMA HAUPATI ABIRIA UBER/BOLT FANYA VITU HIVI!

Watu wengi huanza biashara ya kuendesha magari kwenye majukwaa ya usafiri wakidhani kwamba abiria wapo wengi muda wote na watatengeneza mamilioni haraka!. Kama haupati abiria Uber/Bolt/Linkee au kwenye jukwaa lolote lile usikate tamaa. Hali hii ni ya muda na muda na inaweza ikawa ni kwasababu tu eneo uliopo lina madereva wengi kuliko abiria hivyo kusababisha …

KAMA HAUPATI ABIRIA UBER/BOLT FANYA VITU HIVI! Read More »

Zawadi 5 kila dereva uber anapewa

ZAWADI 5 KILA DEREVA UBER ANAPEWA NA KAMPUNI

Je unazifahamu zawadi 5 kila dereva Uber hupewa mara tu anapojiunga kuendesha abiria kwenye jukwaa hili la usafiri? Uber ni moja ya kampuni zinazoongoza katika sekta ya usafiri kwa njia ya programu duniani. Tangu ipate mafanikio makubwa, zimeibuka kampuni nyingine ambazo zimekuwa zikijaribu kushindana na Uber ili nao wapate mafanikio makubwa. Kutokana na ushindani huu, …

ZAWADI 5 KILA DEREVA UBER ANAPEWA NA KAMPUNI Read More »

Wasiliana na uongozi wa uber

WASILIANA NA UONGOZI UBER KWA KUFATA NJIA HIZI

Uber ni jukwaa maarufu ambapo madereva na wamiliki vyombo vya usafiri huunganishwa na watu wenye hitaji la usafiri. Kampuni hii ilianzishwa mwezi March mwaka 2009, San Francisco, California, Marekani. Hadi mwaka 2021 huduma za Uber zimefikia zaidi ya nchi 85, huku ikiweza kutoa fursa kwa madereva zaidi ya milioni 3-4 dunia nzima kutengeneza kipato kizuri …

WASILIANA NA UONGOZI UBER KWA KUFATA NJIA HIZI Read More »

Je, biashara ya Uber inalipa kweli kwa Tanzania?

BIASHARA YA UBER INALIPA KWELI KWA TANZANIA 2022?

Kama wewe ni dereva au mmiliki wa gari unayefikiria kutengeneza kipato kwa kutoa huduma ya usafiri basi umefika kwenye mahala sahihi. Katika makala hii utafahamu kama biashara ya Uber inalipa vizuri na kama inakufaa kuanza kutengeneza kipato full time au part time kwa kuendesha mwenyewe au kutumia madereva wanaohitaji magari ya kuendesha na Uber. Uber …

BIASHARA YA UBER INALIPA KWELI KWA TANZANIA 2022? Read More »

Magari yanayokubaliwa kusajiliwa uber

MAGARI YANAYOKUBALIWA KUSAJILIWA UBER TANZANIA 2022.

Uber ni kampuni inayoongoza katika sekta ya usafiri wa kushiriki yaani ride sharing /ride hailing. Maelfu ya watanzania madereva na wamiliki magari yanayokubaliwa kusajiliwa Uber wamekuwa wakitengeneza kipato kikubwa kwa kutoa huduma ya usafiri kwa abiria wa jukwaa hili. Ingawa fursa hii ni nzuri sana na inafaa kila mtanzania mwenye uwezo aweze kunufaika nayo, inavyo …

MAGARI YANAYOKUBALIWA KUSAJILIWA UBER TANZANIA 2022. Read More »

Jisajili kuendesha uber kubaliwa haraka

JISAJILI KUWA DEREVA UBER NA KUBALIWA HARAKA!

Majukwaa ya usafiri wa kushirikiana yamefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya usafiri. Maelfu ya wamiliki magari na madereva waliochukua hatua ya kujisajilii kuwa dereva Uber wamekuwa wakitengeneza faida kubwa sana hadi kuhamasisha watanzania wengine wajiunge na fursa hii. Katika makala hii utaenda kuona jinsi ya ku jisajili kuwa dereva Uber ili na wewe uanze kutengeneza …

JISAJILI KUWA DEREVA UBER NA KUBALIWA HARAKA! Read More »