Jinsi ya kubadilisha kadi ya gari

Magari yanayokubaliwa kusajiliwa uber

MAGARI YANAYOKUBALIWA KUSAJILIWA UBER TANZANIA 2022.

Uber ni kampuni inayoongoza katika sekta ya usafiri wa kushiriki yaani ride sharing /ride hailing. Maelfu ya watanzania madereva na wamiliki magari yanayokubaliwa kusajiliwa Uber wamekuwa wakitengeneza kipato kikubwa kwa kutoa huduma ya usafiri kwa abiria wa jukwaa hili. Ingawa fursa hii ni nzuri sana na inafaa kila mtanzania mwenye uwezo aweze kunufaika nayo, inavyo …

MAGARI YANAYOKUBALIWA KUSAJILIWA UBER TANZANIA 2022. Read More »

Jisajili kuwa dereva Bolt

JISAJILI KUWA DEREVA BOLT NA KUBALIWA CHAP CHAP!

Bolt ni kampuni ya usafirishaji iliyoanzishwa nchini Estonia na kusambaa kwenye nchi mbalimbali duniani. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa Bolt ina wateja zaidi ya milioni 75 na madereva zaidi ya milioni 1.5 ambao wanatoa huduma za usafiri kwenye app ya Bolt. Maelfu ya madereva wa Tanzania wameweza kujiajiri au kuajiriwa kuendesha vyombo vya usafiri Bolt na …

JISAJILI KUWA DEREVA BOLT NA KUBALIWA CHAP CHAP! Read More »