changamoto za madereva wa programu za safari

Dalili za hasara kwa madereva

DALILI ZA HASARA KWA MADEREVA WA PROGRAMU ZA SAFARI

Unapokuwa umeendesha abiria kwa muda mrefu kwenye majukwaa ya programu za safari lazima ifike wakati utathmini kama biashara yako inakuletea faida au la. Katika makala hii utaenda kuona dalili za hasara kwa madereva wa sekta hii, na pia tumekuchambulia suluhisho ili kuhakikisha unaendelea na biashara na kupata faida. Ukweli ni kwamba wapo madereva wengi sana …

DALILI ZA HASARA KWA MADEREVA WA PROGRAMU ZA SAFARI Read More »

makosa wanayofanya madereva wanapokodi magari

MAKOSA 9 WANAYOFANYA MADEREVA WANAPOKODI MAGARI KWA WAMILIKI

Katika makala iliyopita tumechambua kiundani faida wanazopata madereva kwa kuanza biashara kwenye programu za safari kwa kutumia magari wasiyoyamiliki. Katika mwendelezo huu utaenda kuona makosa wanayoyafanya madereva wanapokodi magari kutoka kwa wamiliki. Kwanza kabisa ni muhimu tukukumbushe kuwa sio madereva wote hufanya haya makosa yote unayoenda kuyaona. Wapo madereva wengi sana ambao ni wazoefu na …

MAKOSA 9 WANAYOFANYA MADEREVA WANAPOKODI MAGARI KWA WAMILIKI Read More »