Changamoto za biashara ya Uber

akaunti ya dereva uber tanzania kufungwa

FUNGUA AKAUNTI YA UBER ILIYOFUNGWA KWA KUFATA NJIA HIZI

Katika makala iliyopita uliona ni jinsi gani akaunti yako ya dereva inaweza kufungiwa na Uber na kukuzuia kufanya kazi na kutengeneza pesa. Katika makala hii tunaenda kukuonesha jinsi ya ku fungua akaunti ya Uber iliyofungwa na kuzuia kufungiwa tena. Je umefungiwa akaunti yako ya dereva Uber? Usivunjike moyo, hili janga huwa linawatokea madereva wengi tu …

FUNGUA AKAUNTI YA UBER ILIYOFUNGWA KWA KUFATA NJIA HIZI Read More »

Bima ya ajali bure kwa madereva Uber

BIMA YA AJALI BURE KWA MADEREVA UBER WOTE TANZANIA

Ajali ni tatizo ambalo linaweza kutokea muda wowote na kukusababishia majanga na upungufu wa kipato. Ingawa madereva wote wanatakiwa kuwa na bima ya biashara ili kukubaliwa kuendesha Uber, bado kampuni ya Uber inakata bima ya ajali bure kwa madereva wake wote ili kuhakikisha wanapata maslahi yakutosha pale inapotokea ajali. BIMA YA AJALI BURE KUTOKA BRITAM …

BIMA YA AJALI BURE KWA MADEREVA UBER WOTE TANZANIA Read More »

Changamoto za Madereva Uber na Bolt Tanzania

CHANGAMOTO ZA MADEREVA UBER/BOLT ZINAZOSUMBUA SANA

Kutokana na taarifa zilizopo, changamoto za madereva Uber/Bolt ni nyingi ingawa madereva bado wanaendelea kutoa huduma. Watu wengi hudhani kuwa kwasababu kampuni ni kubwa inayotokea nchi maarufu kila kitu kitakuwa murua katika utenda kazi wake. Lakini ukweli ni kwamba ingawa sekta hii ni ya kiteknolojia zaidi, bado madereva wanapitia mambo ambayo mara nyingi huwafanya kutamani …

CHANGAMOTO ZA MADEREVA UBER/BOLT ZINAZOSUMBUA SANA Read More »