Je, unafahamu majukwaa mengine ya teksi mtandao tofauti na Uber, Bolt?
Pamoja na kuwa programu hizi zinatoa huduma zinazofanana na zile za Uber na Bolt, lakini ni wangapi wanazifahamu?
Pamoja na kuwa programu hizi zinatoa huduma zinazofanana na zile za Uber na Bolt, lakini ni wangapi wanazifahamu?
Kama wewe tayari ni dereva au kama ndio unataka kuanza biashara ya Uber au Bolt Tanzania hii makala ni maalumu kwa ajili yako. Watu wengi huwa wanakosa taarifa sahihi za kuwasaidia kuchagua kampuni ipi wajisajili na kuendesha abiria au ni ipi waikazanie zaidi. Kwa hiyo kwenye makala hii tutaenda kuchambua tofauti za majukwaa haya mawili …
UBER AU BOLT TANZANIA: IPI INAFAA ZAIDI KWA BIASHARA 2022? Read More »
Kuanzia tarehe 11 Januari 2022 Kampuni ya Kiestonia ya Bolt imeongezewa ufadhili wa Euro milioni 628 sawa na shilingi za kitanzania Trilioni moja, bilioni mia tano themanini, milioni mia moja sabini, laki tatu elfu nne mia nane themanini na nne. Kampuni hii imekuwa ikihitaji fedha hizi kwasababu ya mipango mikubwa ya uboreshaji huduma ambayo imepanga …
Watu wote wanaofanya shughuli za kutoa huduma au kuuza bidhaa katika sekta yoyote duniani hutakiwa kuwa na ufahamu wa misingi ya huduma kwa wateja. Hii ni kwasababu wateja ndio chanzo cha kipato, na hivyo kuwapa wao kipaumbele ndiyo mbinu bora zaidi ya mafanikio kwa kampuni au biashara yoyote. Madereva wengi huanza biashara ya kuendesha abiria …
Katika makala hii tumeamua kuchambua jinsi ya kupata 5 stars na reviews kwa ajili ya madereva wa teksi mtandao kwasababu hiki ni kigezo kikubwa cha kupata abiria kwa wingi zaidi. Majukwaa ya usafiri wa teksi mtandao kama Uber, Bolt, Ping, Paisha, Little ride, Indriver and nyinginezo yameweka system ya madereva kupewa alama na abiria kwasababu …
JINSI YA KUPATA 5 STAR RATINGS KWA MADEREVA WA TEKSI MTANDAO Read More »
Kama wewe tayari ni dereva uliyesajiliwa kuendesha abiria ni muhimu kufahamu njia hizi unapotaka ku wasiliana na uongozi Bolt ili kupata huduma za ziada. Sababu zinazoweza kusababisha uhitaji wa kuwasiliana na uongozi. 1. KUPATA MAFUNZO YA MADEREVA Kampuni ya Bolt imejikita sana katika kuhakikisha madereva wote wanapata mafunzo maalumu ili kuhakikisha wanatoa huduma kwa ufanisi …
WASILIANA NA UONGOZI BOLT TANZANIA KWA NJIA ZIFUATAZO Read More »
Watu wengi huanza biashara ya kuendesha magari kwenye majukwaa ya usafiri wakidhani kwamba abiria wapo wengi muda wote na watatengeneza mamilioni haraka!. Kama haupati abiria Uber/Bolt/Linkee au kwenye jukwaa lolote lile usikate tamaa. Hali hii ni ya muda na muda na inaweza ikawa ni kwasababu tu eneo uliopo lina madereva wengi kuliko abiria hivyo kusababisha …
Mafuta ndio mtaji na gharama kubwa kwa madereva wa majukwaa yote ya usafirishaji wa abiria. Hata ukitengeneza fedha nyingi kiasi gani unatakiwa kutoa gharama ya mafuta ndio ubaki na faida. Kwasababu ya hili, ili kupata faida kubwa ni lazima dereva ufahamu jinsi ya kupunguza gharama na kuongeza kipato. JINSI YA KUPUNGUZA GHARAMA YA MAFUTA KWA …
Bolt ni kampuni ya usafirishaji iliyoanzishwa nchini Estonia na kusambaa kwenye nchi mbalimbali duniani. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa Bolt ina wateja zaidi ya milioni 75 na madereva zaidi ya milioni 1.5 ambao wanatoa huduma za usafiri kwenye app ya Bolt. Maelfu ya madereva wa Tanzania wameweza kujiajiri au kuajiriwa kuendesha vyombo vya usafiri Bolt na …
JISAJILI KUWA DEREVA BOLT NA KUBALIWA CHAP CHAP! Read More »
Watu wengi wametambua na kuanza fursa ya kutengeneza mamilioni kwa kuendesha abiria kwenye majukwaa ya safari kama Uber na Bolt. Lakini je? Ni kila mtu anaweza kutengeneza kipato cha kutosha kwa njia hii? Madereva wengi hasa wale wapya huanza kazi hii bila kujifunza misingi muhimu zaidi ya kuwafanya wafanikiwe. Kama wewe ni dereva au mmiliki …
JINSI YA KUTENGENEZA PESA NYINGI KWENYE UBER/BOLT Read More »