BOLT ITABAKI AU ITASITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KAMA UBER?
Baada ya maamuzi ya ada mpya ya programu za safari kuwa 15% kutangazwa 16 Aprili 2022. Na baada ya kampuni kubwa na kongwe ya Uber kusitisha huduma kutokana na mabadiliko haya, wadau wengi wamekuwa wakisikilizia kama Bolt itabaki au itasitisha huduma pia. Tangu agizo la kamisheni mpya kutolewa na LATRA, kampuni ya Bolt iliamua kuheshimu …
BOLT ITABAKI AU ITASITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KAMA UBER? Read More »