Teksi mtandao

Uber au Bolt ipo bora tanzania 2022

Sakata la Uber na Bolt: Mfululizo wa Matukio Muhimu

Agosti 17,2022, Bolt ilisitisha huduma zake za magari kwa abiria wa kawaida na kujikita zaidi katika abiria wa makampuni. Hali hii ikiwa imekuja miezi minne tu, toka Uber isitishe baadhi ya huduma zake Tanzania, wote wakilalmikia viwango vipya vya nauli na kamisheni vilivyopitishwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA). Haya ni matukio muhimu kwenye sakata hili: