MADEREVA WA LINKEE TANZANIA WANAPATA FAIDA HIZI
Kama wewe ni mdau wa sekta hii ya usafiri kwa njia ya programu utakuwa tayari unafahamu kuwa madereva wa Linkee Tanzania wanapata faida nzuri sana kupitia biashara hii ya usafirishaji. Linkee ni kampuni mpya ya ride hailing ambayo imeingia kwenye biashara yenye wachezaji wakubwa sana kama Uber na Bolt. Kutokana na hili, kampuni hii imeanza …