Jinsi Sakata la Uber, Bolt lilivyowaathiri Wamiliki wa Magari
Ni kwa namna gani kusitishwa kwa huduma kwenye majukwaa ya Uber na Bolt kumeyaathiri maisha ya wamiliki wa magari?
Ni kwa namna gani kusitishwa kwa huduma kwenye majukwaa ya Uber na Bolt kumeyaathiri maisha ya wamiliki wa magari?
Imekua kawaida kuona dereva wa teksi mtandao anambeba abiria bila ku ‘start trip’. Je, ni kwa nini anafanya hivyo?
Hizi hapa ni mbinu 8 zinazoweza kukusaidia kutengeza faida zaidi katika pesa unayoingiza kama dereva wa teksi mtandao.
Timu ya Weibakimefanya mazungumzo na Editha Deus Batumbe, mama ayefanya shughuli za usafirishaji wa abiria kwa kutumia majukwaa ya teksi mtandao kama Bolt na Paisha.
Pamoja na kuwa teksi mtandao zimetoa fursa ya vijana wengi kujiajiri, kwa upande wa pili wa shilingi kuna faida na hasara. Je, ni zipi?
Wakati Uber imesitisha huduma zake nchini, na Bolt kusitisha huduma za usafiri wa gari kwa abiria binafsi, abiria pamoja na madereva wanajaribu kutumia majukwaa mengine ili kupata huduma ambazo wamezikosa kutokana na changamoto walizonazo Uber na Bolt.
Agosti 17,2022, Bolt ilisitisha huduma zake za magari kwa abiria wa kawaida na kujikita zaidi katika abiria wa makampuni. Hali hii ikiwa imekuja miezi minne tu, toka Uber isitishe baadhi ya huduma zake Tanzania, wote wakilalmikia viwango vipya vya nauli na kamisheni vilivyopitishwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA). Haya ni matukio muhimu kwenye sakata hili:
Pamoja na kuwa programu hizi zinatoa huduma zinazofanana na zile za Uber na Bolt, lakini ni wangapi wanazifahamu?
Unapokuwa umeendesha abiria kwa muda mrefu kwenye majukwaa ya programu za safari lazima ifike wakati utathmini kama biashara yako inakuletea faida au la. Katika makala hii utaenda kuona dalili za hasara kwa madereva wa sekta hii, na pia tumekuchambulia suluhisho ili kuhakikisha unaendelea na biashara na kupata faida. Ukweli ni kwamba wapo madereva wengi sana …
DALILI ZA HASARA KWA MADEREVA WA PROGRAMU ZA SAFARI Read More »
Kabla ya kuingia kwenye mkataba wa kukodi gari ni muhimu kufahamu vitu vya kuzingatia kwenye makubaliano wanayoingia madereva na wamiliki wa magari kwa lengo la biashara. Kama unavyofahamu si lazima kuwa na gari lako mwenyewe ili uweze kutengeneza kipato kwa kuendesha abiria wa majukwaa ya usafiri. Wapo madereva wengi sana ambao wanatengeneza kipato kikubwa tu …
Kuanzisha biashara yenye faida kubwa kwenye programu za safari hakuhitaji kuwa na gari lako mwenyewe. Dereva anaweza kutengeneza kipato kwa kutumia gari la kukodi kwa mmiliki na kugawana naye sehemu ya mapato. Katika makala hii utaenda kuona manufaa ya kufanya biashara hii ya usafirishaji abiria bila kuhitaji kununua gari. Kama tayari unao mtaji wa kununua …
FAIDA ZA DEREVA KUTUMIA GARI LA KUKODI KUENDESHA ABIRIA Read More »
Katika makala iliyopita tumechambua kiundani faida wanazopata madereva kwa kuanza biashara kwenye programu za safari kwa kutumia magari wasiyoyamiliki. Katika mwendelezo huu utaenda kuona makosa wanayoyafanya madereva wanapokodi magari kutoka kwa wamiliki. Kwanza kabisa ni muhimu tukukumbushe kuwa sio madereva wote hufanya haya makosa yote unayoenda kuyaona. Wapo madereva wengi sana ambao ni wazoefu na …
MAKOSA 9 WANAYOFANYA MADEREVA WANAPOKODI MAGARI KWA WAMILIKI Read More »
Mara nyingi sana watu hufikiria kuwa teksi na programu za safari kama Bolt, Linkee, moovn nk ni kitu kile kile. Lakini ukweli ni kwamba Taxi na programu za safari ni huduma mbili tofauti ambazo zinapaswa kutochanganywa kabisa. Huduma hizi ni tofauti kwasababu kuna utofauti mkubwa katika muundo wake wa biashara na mfumo wa utoaji huduma. …
Kanuni za LATRA zilizoanza rasmi 16 April 2022 zimeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya programu za safari Tanzania. Watu wengi wamesikia sheria moja tu ya kimo cha kamisheni au ada ya 15% kwa madereva lakini hiyo siyo sheria pekee iliyowekwa. Mamlaka ya udhibiti wa usafri wa nchi kavu LATRA ilianzishwa chini ya kifungu namba 4 …
KANUNI ZA LATRA KWA MAKAMPUNI NA MADEREVA MTANDAONI Read More »
Baada ya maamuzi ya ada mpya ya programu za safari kuwa 15% kutangazwa 16 Aprili 2022. Na baada ya kampuni kubwa na kongwe ya Uber kusitisha huduma kutokana na mabadiliko haya, wadau wengi wamekuwa wakisikilizia kama Bolt itabaki au itasitisha huduma pia. Tangu agizo la kamisheni mpya kutolewa na LATRA, kampuni ya Bolt iliamua kuheshimu …
BOLT ITABAKI AU ITASITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KAMA UBER? Read More »
Kwanza kabisa ni vizuri kufahamu na kukumbuka kwamba Uber kusitisha huduma Tanzania ni maamuzi ya ghafla tu kutokana na mabadiliko ya ada yaliyopitishwa na LATRA kuanzia Aprili 2022. SOMA: Sababu za Uber kusitisha huduma Tanzania 2022 Kampuni imeshatoa tamko kuwa inaendelea kuwasiliana na wadau ikiwemo uongozi wa LATRA ili kuona kama kuna uwezekano wa kufikia …
HATUA ZA KUCHUKUA BAADA YA UBER KUSITISHA HUDUMA Read More »
Kuanzia tarehe 14 April 2022 kampuni ua Uber imesitisha huduma Tanzania kama ilivyotangazwa na wawakilishi wake. Hili limekuwa jambo la ghafla na ambalo limeathiri kipato cha madereva wengi kwasababu kampuni hii ndio kubwa kuliko kampuni zote za programu za safari Tanzania na dunia nzima. KANUSHO: Weibak Carsharing sio mdau wa kampuni yoyote ya programu za …
UBER IMESITISHA HUDUMA TANZANIA 2022 KWA SABABU HIZI Read More »
Katika makala iliyopita uliona ni jinsi gani akaunti yako ya dereva inaweza kufungiwa na Uber na kukuzuia kufanya kazi na kutengeneza pesa. Katika makala hii tunaenda kukuonesha jinsi ya ku fungua akaunti ya Uber iliyofungwa na kuzuia kufungiwa tena. Je umefungiwa akaunti yako ya dereva Uber? Usivunjike moyo, hili janga huwa linawatokea madereva wengi tu …
FUNGUA AKAUNTI YA UBER ILIYOFUNGWA KWA KUFATA NJIA HIZI Read More »
Moja ya kero kubwa inayowapata madereva Uber ni kufungiwa akaunti. Mara nyingi madereva wengi hujikuta kwenye balaa hili bila kujua sababu za kufungiwa akaunti zao, hivyo kuishia kupoteza kipato na muda mwingi kwa kujaribu kutafuta suluhusho. Kwanini kufungiwa akaunti kunaudhi madereva? KUTOKUWA NA TAHADHARI: Wapo madereva wengi ambao wamejikuta akaunti zao zikifungwa ghafla bila taarifa …
Kwa madereva wa Uber promotion za Uber Quest inaweza kusaidia mapato yako kupanda hadi kiwango cha juu ndani ya muda mchache. Wakati mwingine kipato kwenye jukwaa la Uber huwa chini sana ingawa kampuni hii wanalipa vizuri kidogo ukilinganisha na kampuni nyingine. Kwa hiyo ni muhimu wewe kama dereva kutumia kila fursa ambayo kampuni imeweka ili …
Kama wewe tayari ni dereva au kama ndio unataka kuanza biashara ya Uber au Bolt Tanzania hii makala ni maalumu kwa ajili yako. Watu wengi huwa wanakosa taarifa sahihi za kuwasaidia kuchagua kampuni ipi wajisajili na kuendesha abiria au ni ipi waikazanie zaidi. Kwa hiyo kwenye makala hii tutaenda kuchambua tofauti za majukwaa haya mawili …
UBER AU BOLT TANZANIA: IPI INAFAA ZAIDI KWA BIASHARA 2022? Read More »
Watu wengi wanaotaka kuanza kuendesha abiria Uber hujiuliza sana kuhusu aina za magari zitakazofaa katika kuleta faida kubwa zaidi kwenye biashara hii ya usafirishaji. Hii ni muhimu kwa madereva ambao tayari wanaendesha abiria wa Uber/Bolt/Linkee au kwenye majukwaa mengine kwasababu, dereva anaweza kubadili gari muda wowote na kuweza kutengeneza pesa zaidi. Kabla ya kujua magari …
AINA ZA MAGARI YENYE FAIDA ZAIDI UBER TANZANIA 2022 Read More »
Kama wewe ni mdau wa sekta hii ya usafiri kwa njia ya programu utakuwa tayari unafahamu kuwa madereva wa Linkee Tanzania wanapata faida nzuri sana kupitia biashara hii ya usafirishaji. Linkee ni kampuni mpya ya ride hailing ambayo imeingia kwenye biashara yenye wachezaji wakubwa sana kama Uber na Bolt. Kutokana na hili, kampuni hii imeanza …
Ukilinganisha na nchi za nje, madereva wengi wa Uber hapa Tanzania huvumulia mengi sana na kuendelea na kazi hata pale matatizo yanapozidi. Ripoti zinaonesha kuwa mwaka 2020 tu kuanzia Januari hadi Aprili Uber ilipoteza 60% ya madereva wake. Hii inawezekana kuwa ilichangiwa na mlipuko wa gonjwa la UVIKO 19 lakini hata kabla ya hapo, tafiti …
MADEREVA UBER WENGI WANAACHA KAZI KWA SABABU HIZI. Read More »
Kutokana na ripoti zilizopo, madereva huweza kutengeneza pesa zaidi kwa kuendesha abiria maeneo yenye ongezeko la nauli katika jukwaa la Uber. Ongezeko hili linalofahamika kama surge pricing lililoanzishwa na kampuni hii mwaka 2014 hutokea pale ambapo kwenye eneo fulani kuna abiria wengi kuliko madereva. Inapotokea hii, algorithm au mitambo ya Uber automatically hupandisha bei za …
Kuanzia tarehe 11 Januari 2022 Kampuni ya Kiestonia ya Bolt imeongezewa ufadhili wa Euro milioni 628 sawa na shilingi za kitanzania Trilioni moja, bilioni mia tano themanini, milioni mia moja sabini, laki tatu elfu nne mia nane themanini na nne. Kampuni hii imekuwa ikihitaji fedha hizi kwasababu ya mipango mikubwa ya uboreshaji huduma ambayo imepanga …
Kampuni ya Bolt Tanzania kwa kupitia mpango wake wa green plan inahamasisha madereva Bolt watumie gesi badala ya petroli ili kusaidia mazingira na kuinua uchumi. Meneja wa Bolt nchini, Remmy Eseka alisema jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kuwa “Kupitia Mpango wa Kijani wa Bolt, kitendo cha madereva kwenye jukwaa letu kuanza kuchukua hatua …
MADEREVA BOLT WATUMIE GESI ASILIA BADALA YA PETROLI Read More »
Watu wote wanaofanya shughuli za kutoa huduma au kuuza bidhaa katika sekta yoyote duniani hutakiwa kuwa na ufahamu wa misingi ya huduma kwa wateja. Hii ni kwasababu wateja ndio chanzo cha kipato, na hivyo kuwapa wao kipaumbele ndiyo mbinu bora zaidi ya mafanikio kwa kampuni au biashara yoyote. Madereva wengi huanza biashara ya kuendesha abiria …
Katika makala hii tumeamua kuchambua jinsi ya kupata 5 stars na reviews kwa ajili ya madereva wa teksi mtandao kwasababu hiki ni kigezo kikubwa cha kupata abiria kwa wingi zaidi. Majukwaa ya usafiri wa teksi mtandao kama Uber, Bolt, Ping, Paisha, Little ride, Indriver and nyinginezo yameweka system ya madereva kupewa alama na abiria kwasababu …
JINSI YA KUPATA 5 STAR RATINGS KWA MADEREVA WA TEKSI MTANDAO Read More »
Kama wewe tayari ni dereva uliyesajiliwa kuendesha abiria ni muhimu kufahamu njia hizi unapotaka ku wasiliana na uongozi Bolt ili kupata huduma za ziada. Sababu zinazoweza kusababisha uhitaji wa kuwasiliana na uongozi. 1. KUPATA MAFUNZO YA MADEREVA Kampuni ya Bolt imejikita sana katika kuhakikisha madereva wote wanapata mafunzo maalumu ili kuhakikisha wanatoa huduma kwa ufanisi …
WASILIANA NA UONGOZI BOLT TANZANIA KWA NJIA ZIFUATAZO Read More »
Madereva wengi wa Uber wanafahamu jinsi ya kuanza na kumaliza safarii lakini hawafahamu jinsi ya kuchagua maeneo wanayotaka wao kufanya shughuli yao ya uendeshaji. Jukwaa la Uber lina kipengele muhimu sana kinachoitwa “Destination ride request filter” ambacho kina faida kubwa sana kwa madereva. Hii ni kwasababu, kwa kutumia kipengele hiki unaweza kuamua kuwa safari zako …
JINSI YA KUCHAGUA MAENEO YA KUPELEKA ABIRIA WA UBER Read More »
Kila dereva anayetoa huduma kwenye majukwaa ya usafirishaji anapaswa kufahamu mbinu za usalama wakati wa kuendesha abiria usiku. Madereva waliopo nje ya Tanzania au bara la Afrika mara nyingi hawapo katika hatari sana usiku kulinganisha na madereva wa huku kwasababu nchi zao zina miundombinu mikubwa sana ya usalama. Katika nchi yetu ambayo hata namba ya …
MBINU ZA USALAMA KWA MADEREVA WANAOENDESHA USIKU Read More »
Watu wengi huanza biashara ya kuendesha magari kwenye majukwaa ya usafiri wakidhani kwamba abiria wapo wengi muda wote na watatengeneza mamilioni haraka!. Kama haupati abiria Uber/Bolt/Linkee au kwenye jukwaa lolote lile usikate tamaa. Hali hii ni ya muda na muda na inaweza ikawa ni kwasababu tu eneo uliopo lina madereva wengi kuliko abiria hivyo kusababisha …
Ajali ni tatizo ambalo linaweza kutokea muda wowote na kukusababishia majanga na upungufu wa kipato. Ingawa madereva wote wanatakiwa kuwa na bima ya biashara ili kukubaliwa kuendesha Uber, bado kampuni ya Uber inakata bima ya ajali bure kwa madereva wake wote ili kuhakikisha wanapata maslahi yakutosha pale inapotokea ajali. BIMA YA AJALI BURE KUTOKA BRITAM …
BIMA YA AJALI BURE KWA MADEREVA UBER WOTE TANZANIA Read More »
Madereva wengi hawafahamu kuwa zipo zaidi ya njia moja ya kutengeneza pesa nyingi kupitia jukwaa la Uber. Kwenye makala hii utaenda kuona jinsi ya kutengeneza pesa kwenye Uber kwa kupitia programu ya Uber referral. Kama ambavyo tumeandika mara nyingi kwenye makala zetu, kampuni ya Uber inaongoza katika sekta hii ya usafiri kwa kutumia programu. Hii …
TENGENEZA PESA KWENYE UBER KWA KUSAIDIA MADEREVA WAPYA KUANZA Read More »
Mafuta ndio mtaji na gharama kubwa kwa madereva wa majukwaa yote ya usafirishaji wa abiria. Hata ukitengeneza fedha nyingi kiasi gani unatakiwa kutoa gharama ya mafuta ndio ubaki na faida. Kwasababu ya hili, ili kupata faida kubwa ni lazima dereva ufahamu jinsi ya kupunguza gharama na kuongeza kipato. JINSI YA KUPUNGUZA GHARAMA YA MAFUTA KWA …
Je unazifahamu zawadi 5 kila dereva Uber hupewa mara tu anapojiunga kuendesha abiria kwenye jukwaa hili la usafiri? Uber ni moja ya kampuni zinazoongoza katika sekta ya usafiri kwa njia ya programu duniani. Tangu ipate mafanikio makubwa, zimeibuka kampuni nyingine ambazo zimekuwa zikijaribu kushindana na Uber ili nao wapate mafanikio makubwa. Kutokana na ushindani huu, …
Kampuni zote zinayofanya shughuli za biashara lazima ziwe na sheria za utoaji huduma ili kuhakikisha wateja wao wanaridhika na kurudi tena na tena. Unapoendesha abiria kwenye majukwaa haya ya Ride-sharing/Ride-hailing wewe unakuwa unawasilisha picha ya kampuni kwa abiria. Kutokana na hili kampuni hizi zinataka utoe huduma kwa kufata kanuni zifuatazo. 1. Uhakiki wa abiria. Dereva …
SHERIA ZA UTOAJI HUDUMA KWENYE JUKWAA LA UBER/BOLT Read More »
Uber ni jukwaa maarufu ambapo madereva na wamiliki vyombo vya usafiri huunganishwa na watu wenye hitaji la usafiri. Kampuni hii ilianzishwa mwezi March mwaka 2009, San Francisco, California, Marekani. Hadi mwaka 2021 huduma za Uber zimefikia zaidi ya nchi 85, huku ikiweza kutoa fursa kwa madereva zaidi ya milioni 3-4 dunia nzima kutengeneza kipato kizuri …
Kila dereva Uber/Bolt anapoanza kazi ya kuendesha abiria kwenye majukwaa hayo huambiwa kuwa anahitaji gari, ujuzi na smartphone tu kujisajili. Ingawa hivyo vinaweza kutosha, utakuja kugundua kwamba abiria hawatabiriki. Kwa hiyo ni vizuri sana kuwa tayari kwa jambo lolote linaloweza kutokea wakati wa safari. Katika makala hii utaenda kujionea vifaa muhimu sana ambavyo kila dereva …
Kama wewe ni dereva au mmiliki wa gari unayefikiria kutengeneza kipato kwa kutoa huduma ya usafiri basi umefika kwenye mahala sahihi. Katika makala hii utafahamu kama biashara ya Uber inalipa vizuri na kama inakufaa kuanza kutengeneza kipato full time au part time kwa kuendesha mwenyewe au kutumia madereva wanaohitaji magari ya kuendesha na Uber. Uber …
BIASHARA YA UBER INALIPA KWELI KWA TANZANIA 2022? Read More »
Kutokana na taarifa zilizopo, changamoto za madereva Uber/Bolt ni nyingi ingawa madereva bado wanaendelea kutoa huduma. Watu wengi hudhani kuwa kwasababu kampuni ni kubwa inayotokea nchi maarufu kila kitu kitakuwa murua katika utenda kazi wake. Lakini ukweli ni kwamba ingawa sekta hii ni ya kiteknolojia zaidi, bado madereva wanapitia mambo ambayo mara nyingi huwafanya kutamani …
CHANGAMOTO ZA MADEREVA UBER/BOLT ZINAZOSUMBUA SANA Read More »
Kila siku madereva wapya wanajisajili kuanza kuendesha abiria kwenye majukwaa ya Ride sharing. Ili kuwa wakipekee inabidi kila dereva wa Uber/Bolt ajiulize maswali sahihi na awe na majibu yake kabla hajaanza au hajaendelea na kazi hii. Kupata mafanikio na kutengeneza pesa nyingi kwa kuendesha Uber si kitu rahisi sana. Inahitaji bidii ya ziada na ufahamu …
KILA DEREVA WA UBER/BOLT ANAPASWA KUJIULIZA MASWALI HAYA Read More »
Uber ni kampuni inayoongoza katika sekta ya usafiri wa kushiriki yaani ride sharing /ride hailing. Maelfu ya watanzania madereva na wamiliki magari yanayokubaliwa kusajiliwa Uber wamekuwa wakitengeneza kipato kikubwa kwa kutoa huduma ya usafiri kwa abiria wa jukwaa hili. Ingawa fursa hii ni nzuri sana na inafaa kila mtanzania mwenye uwezo aweze kunufaika nayo, inavyo …
MAGARI YANAYOKUBALIWA KUSAJILIWA UBER TANZANIA 2022. Read More »
Bolt ni kampuni ya usafirishaji iliyoanzishwa nchini Estonia na kusambaa kwenye nchi mbalimbali duniani. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa Bolt ina wateja zaidi ya milioni 75 na madereva zaidi ya milioni 1.5 ambao wanatoa huduma za usafiri kwenye app ya Bolt. Maelfu ya madereva wa Tanzania wameweza kujiajiri au kuajiriwa kuendesha vyombo vya usafiri Bolt na …
JISAJILI KUWA DEREVA BOLT NA KUBALIWA CHAP CHAP! Read More »
Majukwaa ya usafiri wa kushirikiana yamefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya usafiri. Maelfu ya wamiliki magari na madereva waliochukua hatua ya kujisajilii kuwa dereva Uber wamekuwa wakitengeneza faida kubwa sana hadi kuhamasisha watanzania wengine wajiunge na fursa hii. Katika makala hii utaenda kuona jinsi ya ku jisajili kuwa dereva Uber ili na wewe uanze kutengeneza …
Watu wengi wametambua na kuanza fursa ya kutengeneza mamilioni kwa kuendesha abiria kwenye majukwaa ya safari kama Uber na Bolt. Lakini je? Ni kila mtu anaweza kutengeneza kipato cha kutosha kwa njia hii? Madereva wengi hasa wale wapya huanza kazi hii bila kujifunza misingi muhimu zaidi ya kuwafanya wafanikiwe. Kama wewe ni dereva au mmiliki …
JINSI YA KUTENGENEZA PESA NYINGI KWENYE UBER/BOLT Read More »